siku hizi aaaaah....hela yako tu. karibu kila kitu kinapatikana bongo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. Kibanda hicho kipo njia kuelekea Millenium Towers, au sio?

    ReplyDelete
  2. mwenzenu hapo Michuzi anawaonyesha hiyo couple, denti na jamaa kabebeshwa begi

    ReplyDelete
  3. macarpet bongo hayyafai kwanza joto linazidi na kulimanttain linahitaji hoover la sivyo linavumbi baya sana kwa afya ni soo,bongo inafaa tiles ndio nzuri kwa weather

    ReplyDelete
  4. ...karibu kila kitu!!!!!

    Tunavitengeneza lakini? Ama tu wakala wa nhi za nje?

    ReplyDelete
  5. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  6. wabongo bwana,wasione watu wawili wa jinsia tofauti wanaongozana lazima wawatungie story,utafikiri walikuwepo kwenye makubaliano,
    inawezekana ikawa ni mtu na dada yake,
    mshkaji anaona sister kachoka kwahiyo kasaidia begi.

    ReplyDelete
  7. Tena jamaa kashikishwa pembe!

    ReplyDelete
  8. Hapo ni shule ya uhuru, benjamin mkapa sec

    ReplyDelete
  9. we mtu wa February 28, 2007 4:26:00 PM acha mambo ya kuiga, watu tangu tunakuwa tuna makapet na hoover hatuna lakini carpet ni safi sana na joto tumelizoea Dar. Na kila mtu anajitahidi kuweka tiles sio kwa sababu ya kupunguza joto,tunakwenda na wakati.
    Mshamba mkubwa!

    ReplyDelete
  10. Michuzi inaonekana untupenda sanaaaa...au.....???!!!! manake unatutamanisha kila siku ili turudi home.....keep it up....lakini nikinunua carpet na chumba nitapanga kimoja manzese kweli hivi vitaendanda hapo...na hiyo carpet machine nitaspend nayo hela ngapi...na huo umeme upoooooo????? yangu macho.... ....

    ReplyDelete
  11. Huyo anon wa juu ata usa kwenyewe kila kitu ni cha china, taiwan honduras n.k juzi niliona bendera ya taifa made in china

    ReplyDelete
  12. Michuzi siku nikisia umekuwa mshauri wa Rais nitasema kweli TZ hatutaendelea. Vitu ambavyo umekuwa ukifagilia humu vinatosha kueleza wewe ni mtu wa aina gani. UNGETUAMBIA HIVYO VITU VINAZALISHWA NCHINI BADALA YA KUPATIKANA tungeona umelonga.

    ReplyDelete
  13. watu wengine bwana ubishoo tu hizo tiles mmmezijua juzi basi hatusemi !!!!!!washamba bwana !kapeti umenunua hapo*2 leo unabana pua eti carpet mafua lol.

    ReplyDelete
  14. Badala ya kukimbilia kufikiri kuwa watu wengine ktk maoni yao wanajivuna nk,tujaribu
    kuzingatia zaidi maono yao!Ni kweli kuwa kapet (zile za nyuzi)hazifai sehemu nyingi za Bongo.Zinatumika kwenye sehemu za baridi kutia joto sakafu na nyumba kwa jumla au kwa wale wasiopenda kuwa na makochi hukaa juu ya makapet.Utunzaji wa makapet nao una gharama zake.Hivyo inabidi tujiulize; je inastahili? Siyo mambo ya kwenda na wakati bali ni mambo ya umuhimu/mahitaji.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...