february 19, 1967: mwalimu nyerere akimtuza medali mwenyekiti wa kwanza wa baraza la mapinduzi na rais wa zanzibar mzee abeid amani karume kwa utumishi uliotukuka kwa wananchi wa visiwani, huku mama maria nyerere na mama fatuma karume wakishuhudia. kwa heshima ya mzee karume aliyeuwawa kwa kupigwa risasi siku kama hii mwaka 1972 katika ofisi za chama cha Afro Shirazi, Kisiwandui, leo ni siku ya mapumziko

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Bablii u wapi? mwanamapinduzi? lete historia tafadhali!

    ReplyDelete
  2. Si!Mnaona !Mama wa taifa Maria Nyerere!Yupo kawaida tu!Bila ya mkorogo wa majivuno,Mama huyu ni mfano wa kuigwa kwa kinamama wa vigogo na vigogo

    ReplyDelete
  3. Brother Michuzi
    Kwa wapenda historia ya Kisiwa cha Zanzibar mwaweza kutembelea webusaiti iliyoonyeshwa hapo chini, Ina picha lukuki na maelezo mafupi mafupi haswa kwa wadau wa blogu kama hii : http://www.zanzibarhistory.org

    Mdau
    Mpenda Historia

    ReplyDelete
  4. Hawa ndiyo viongozi wa kweli, angalia baba wetu wa taifa Mkatoliki safi lakini katia kibandiko! Leo watanzania wanaongelea udini. Wakati huo it did not matter, dini ni nafsi yako. Wote wako simple viongozi pamoja na wake zao. Kwani wakati huo kulikuwa hakuna gold au vitenge vya kumetameta vinavyogharimu malaki? Lakini walijua umuhimu wao kwa jamii ndiyo maaana kutumia malaki au mamilioni kwa kuvaa ilikuwa inatuma ujumbe tofauti kwa jamii. THEY REALLY STOOD AS REAL MODEL!

    ReplyDelete
  5. Na enzi hizo jamani...aaaaah msitukumbushe kwani Unguja sio kisiwa cha amani bali jela la dhuluma...foleni za mikate,sukari,chumvi mpaka asubuhi!!!duh,ukitiwa ndani hata kwa kosa dogo...basi adhabu mpaka unaomba kifo,na kweli wahenga walivyosema...baada ya kila ubaya kuna uzuri...naam

    ReplyDelete
  6. Barua kwa wazee wetu hawa walio kuzimu,
    WAZEE FATHER K aka Mzee Abeid Aman
    Karume na Baba Mzee J.K,Nyerere,huko mliko kuzimu,sisi watoto wa taifa hili tunawakumbuka kweli kwa yale milio tujengea aswa msingi wa umoja yaani Wavulana wa kiswahili tunafunga ndoa na warembo wa kiarabu hapa visiwani na huko bara ndoa za mchanganyiko wa dini na makabila mbali mbali zinafungwa kila siku,
    LAKINI! JAMBO KUBWA LA KUSIKITISHA WAZEE TOKA MTUTOKE KUTANGULIA HUKO
    MLIKO MBELE YA HAKI!basi sisi watoto wa nchi hii tupo kwenye mashaka ya maisha!
    Wenzetu tulio wachagua kutuongoza wametuzidi kete kwa UFISADI
    Maalimu Sefu Sharif nae huku Visiwani !anafuga midevu kiasi imekuwa msitu heti anadai mpaka achaguliwe kuwa Sultan wa visiwa hivi!hayo machache tu... tunayo mengi yakuwaelezea basi huko mliko
    kama mtakaa kikao japo mzimu na mzuka yenu!mhitume hije kuona hali halisi

    ReplyDelete
  7. Nobody shall escape the justice of God on Judgement Day!!

    Wacha siku ije ili waliodhulumiwa wapate haki zao na madhalimu walipwe kwa dhulma zao.

    ReplyDelete
  8. KWA VIPI WANACCM MNAKUBALI SAHIHI ZA WATU HAWA WAWILI KUJENGA MUUNGANO WA TANZANIA? TADAI MAONI YA WANANCHI.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...