Libeneke la OBAMA limevuka boda hadi kuingia bongo. Mara baada ya kuona gari ikiwa na sticker ya OBAMA 08’ leo nimekutana na wadau walio-dizaini t-shirt hapa Dar.
Wanasema wanaendeleza libeneke kule Mitaa ya Irish Pub Msasani karibu na TIRDO.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na
Ndugu Mayunga
0784547996
/0713547996
hizi ndo bangi, huu si wizi tu, mnaacha kumsupport mrema.
ReplyDeleteKama si umbea ninini?
ReplyDeleteKwani huko Irish pub kuna wapiga kura wakimarekani?
Hebu jengeni nchi yenu sio kushabikia mambo ya nje
ndio maana tz tunapaita bongo! deal za maajabu ajabu, support ya obama tanzania itamsaidia vipi huko usa? hata hivyo nampongeza alokuja na mbinu hii, ameona pana opportunity ya kujipatia pesa na ameichukuwa hongera!
ReplyDeletema anon hapo juu bongo hii kula kwataka akili naubunifu ,watu wanafyatua vitu kwa picha za obama wanauza wanaingiza chao mfukoni usifikiri kila m2 hapa bongo ni mkereketwa wa siasa na kwa taarifa tu kampeni zitakapokuwa zikipamba moto marekani na huku bongo vitu vyenye picha ya obama vitapata sana soko ebu jiulize mpaka mwezi november jamaa watatengeneza pesa kiasi gani KUHUSU MREMA sasa hivi hauzi hana tofauti na hip hop ya BONGO narudia tena wabongo wengi makini hawpendi siasa ila kama kuna nafasi ya kula ndio hapo unapowaona wenye akili zao na ubunifu wakkiibuka na logo za OBAMA , BONGO UNAISHI KWA AKILI ZAKO FUNGUA MACHO
ReplyDeleteMarekani ikifanya maamuzi mabaya dunia inaathirika. Ona sasa bei ya mafuta ilivyojuu kwa sababu ya vita vya iraki. Kwa hiyo hizi siyo bangi.
ReplyDeleteSiku ya uchanguzi wa akina JK hakuna hata Mmarekani mmoja aliyebeba bango wala picha. Wala wengine hawajua kuna nchi kama TZ ina exists. Sasa nyie kujishaua ya nini?
ReplyDeleteHUU MICHUZI SASA NI WAZIMU. WATZ KWA KUIGA BASI HATA HILI? MTAIGA MANGAPI? FANYENI KAZI MJENGE TAIFA NA FAMILIA ZENU YA OBAMA WACHIENI OBAMA.
ReplyDeletesasa obama anawahusu nini, mnazidi tu kumharibia. maana tayari ni mweusi, na hilo ni doa kubwa sana, unadhani kuna mzungu atakubali kuongozwa na mweusi? nyie tengenezeni t-shirts mjipatie vijisenti
ReplyDeletefreedom of speech. nyie inawauma nini watu wakibeba mabango ya obama. Mbona alienda Ujerumani na wakatoka watu wengi mno kumsilikiza mpk inamwuuma McCain na kumwita international celebrity? Nyie hamjatulia...kazi kuponda kila kitu bongo. Everyone is entitled to state their beliefs bwana...mmechoka!
ReplyDeleteAlafu wewe anon wa September 05, 2008 1:37 AM ni fala kabisa. Yani unadhubutu kusema kuwa mweusi ni doa? Toa mawazo duni yako hapa. Unajishusha hadhi mwenyewe! Pumbafu kabisa! Tena unatakiwa kuwa-banned katika hii blog kabisa.
ReplyDeleteYES WE CAN!
We anon wa September 05, 2008 1:37 AM fala kweli. Dr Martin Luther King Jr katika ile famous speech yake ya 'I have a dream" alisema...
ReplyDelete"I have a dream that my four little children will one day live in a nation where they will not be judged by the color of their skin but by the content of their character."
Umeelewa hapo au mpk tutafsiri? we unadhani kwa nini Obama alitoa acceptance speech yake on the 45th anniversary of this speech?
Wakati mwingine tunajibagua wenyewe!
huyu atakuwa ni yule jamaa alikuja na kitabu cha Obama ameamua kuja na dili la tshirt sasa hivi
ReplyDeleteNyerere aliwahi kusema ukiona mtua nakushauri....na wewe.. utamalizia
ReplyDeleteNaamaanisha ukiona wazee wamekubali mtoto wao wa miaka chini ya 18 atiwe na azae kabla hata ya ku-qualify kuwa mtu mzima na hawamfungulii kesi mhusika jua kabisa hapo kuna jambo its extraodinary, unreal na haiwezekani in the world of child abuse na all these scene maana tunaambiwa mpaka uki-add mtoto wa miaka chini ya 18 kwa page ya facebook au bebo na myspace uko hatiani iweje both two wasiwe atiani ingekuwa mtoto wa Obama imagine ingekuwaje?
Tia akili acha ujinga. Hao hawakusaidii chochote sasa kwanza ana ukoo mrefu uko choka mbaya Kenya hapo. Wewe ndugu yangu fufua treni hizo angalau zisaidie kuokoa foleni mjini yaani ya hapo Ubungo mpaka mjini. Tbt mpaka mjini na zingine as first point mimi bado naonge ana Boris hapa London tunaleta tube Bongo in two yrs sasa huyu jamaa anaguna nini wakati mabasi ya kwenda kwa kasi tuliambiwa tuko mwaka 2000
Londoner
Kwa watu walioenda shule ya matawi yajuu wanajuwa kuwa rais wa USA ni rais wa dunia nzima hilo halina ubishi mtabisha mpaka kuche huo ndo ukweli, mifano michache tu, hivi nani anafadhali miradi mingi duniani ikiwemo Tanzania, kama si wa-Amerika, nikiitaja michache tu ya Tanzania - UKIMWI, MARALIA,VITABU VYA SHULE, UJENZI WA BARABARA, BAJETI YA TANZANIA, ana wote about dollar? it is a benchmark of all world currencies, na mambo mengi tu ya dunia ambayo hutgemea ushirikishwaji wa USA.
ReplyDeleteInaelekea watu hawaelewi the importance of the American precidency to the world. Muulize Kikwete awaelezeni fresh. Foreign Affairs za Nchi zote zinatoa macho na kungojea kwa hamu kuona nani atakuwa rais. Mnadhani Marekani ni nchi ndogo...kha!
ReplyDeleteıts neocolonialism nduugu zangu.
ReplyDeletetanzania hatuwezi kujiendesha bila misaada.so acha tujishauwe,sio kupokea misaada tu kila siku wakati wenyewe tunashindwa kuzalisha.
HATA KAMA TANZANIA INASAIDIWA NA MAREKANI MPAKA KUSAFISHIWA VYOO VYETU. RAIS WA MAREKANI NI WA DUNIA NZIMA LAKINI NAULIZA NI MMBONGO YUPI ATAPWEWA NAFASI YAKUMPIGIA KURA HAPA TZ? HUKO MAREKANI PENGINE WAKO WABONGO WALIOKUA NA URAIA WA KIMAREKANI NA WATAMPIGIA LAKINI HAPA TZ! JAMANI KAMA HAMNA LAKUFANYA NENDENI PWANI MKAOGELEE. LOOOOOO MNABOA
ReplyDeleteMAMA JOICE
Inaelekea mnakuhusudu sana marekani...kila siku maneno mnasema watu wanaoishi huku lakini leo obama '08.....
ReplyDeletejamani....ujasirimali mzuri lakini mimi ninayeishi huku na najua wengi waioshangaa hili ni watu wanaoishi huku...
Ukweli ni kuwa home sweet home jamani ....na nimejifunza kuwa watu wataipenda nchi yako iwapo na wewe unaipenda ...wenzetu wazalendo wa damu siye tupo tupo tu ila kuishi huku kunanifanya niipende zaidi nchi yangu....nampenda sana Obama lakini hiyo sticker sijui na t-shirt mmmmmmh labda mnipe hela ndio nitaweka bure siweki wala sivai kabisa