Mkurugenzi wa Bestman Promotion ambao ni waandaaji wa pambano la ngumi kati ya Rashid Matumla na Francis Cheka akisisitiza jambo wakati Vodacom Tanzania ilipotangaza udhamini wake katika pambano hilo ilitakalofanyika ijumaa. Kati ni bosi wa kitengo cha udhamini na mawasiliano wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza (kushoto) ni Emanuel Mlundwa rais wa PST.
Home
Unlabelled
vodacom kudhamini mtanange wa cheka na matumla
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
huyu si aristoto jamani ha ha ha
ReplyDelete