Mchezaji wa timu ya Netiboli ya Mkoa wa Morogoro, Ester Mtweve, ( kushoto ) akiwa na baadhi ya wachezaji wenzake wakifurahia jambo mara baada ya kupewa jezi na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Said Kalembo ( hayupo pichani) wakati alipoianga timu hiyo leo katika Uwanja wa Jamhuri wa mjini morogoro kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindao ya Kombe la Taifa la Mchezo huo, Kibaha , Mkoani Pwani yaliyofunguliwa rasmi leo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Dk. Christine Ishegoma kwa niaba ya JK. Picha na mdau wa mji kasoro bahari John Nditi
Home
Unlabelled
timu ya netiboli ya mkoa wa morogoro wapata jezi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Naacha roho mbaya na majungu leo!
ReplyDeleteHAWA WATOTO WAZURI JAMANI NIMEWAPENDA WOTE
Nditi ongeza nguvu uitoe Morogoro
ReplyDeleteTuma mambo kila siku
We miss our home
Tupe vintuz kwa wingi
Cossy Gahanga nawe mchezaji mpira siku hizi?Hongereni.
ReplyDeleteNina hisi mkuu wa nanihii wewe kwenu morogoro kwani unaifagilia sana. basi hata siku moja tupe habari za mwisho wa reli kigoma.
ReplyDeletemdau
kisiju pwani
Enzi zile Netball IMESHAMIRI ..kazi yetu ilikuwa kwenda kuangalia mapaja.
ReplyDelete