kwa mara ya kwanza Tanzania, siku ya akina baba iliadhimishwa tarehe
20.06.2009, katika viwanja vya Biafra. Afya club ilishiriki kikamilifu
kwenye upimaji wa afya za wananchi katika viwanja vya Biafra,
Kinondoni.Picha hizo zinaonyesha baadhi ya wanachama wa afya klabu
wakiwajibika; wanachama wengine walikuwa uwanja wa taifa wakipima afya
za wakimbiaji walioshiriki kwenye Vodacom half marathon jana.
Pia klabu hiyohiyo, jana ilishiriki katika upimaji mwingine wa afya za
wananchi katika uwanja wa uhuru (aka shamba la bibi). wadau wakipima kimo na uzito
romanus mng'ande wa msondo ngoma akicheki afya yake

wadau wa afya club ambao ni madaktari toka sehemu mbalimbali




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2009

    oya VISHNU aka mnoko, Mkunde,malisa na truway, wote madoctors, tuambiane basi hilo afya klabu na nasikia linakuwa kampuni kubwa sas, mtu akitaka kujiunga nini masharti yake na kusoma detail za klabu hiyo inakuwaje.
    mmpenedeza wenyewe. ENDELEZENI LIBENEKE, MUWATOE TONGOTONGO MADR. WAZEE WALIOFICHA FANI HIYO VYUMBANI MWAO NA KUISAHAU JAMII. KAZI NZURI.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 22, 2009

    Always good to see our men coming out to check out their health-Big up!!! I will encourage everyone to know their status.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 22, 2009

    Nawapongeza sana hawa madaktari kwa juhudi zao. Nawatakia kila la kheri. Wanajituma sana ingawa mishahara ya midogo.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 22, 2009

    Hii Ni safai KabisaLAKINI MSIMU UJAO BASI NI VYEMA KUPIMA SARATANI YA MAPUMBU/INAYOSHAMBULIA WANAUME KWA WINGI. MNAVYOJA MADAKTARI WA KIKE TAYARI WAMEAMKA KUSAIDIA KUONDOA ARATANI YA MATITI BASI NANYI VIJANA MADAKTARI SAIDIA KUONDOA SARATANI YA WANAUME. KWELI MADAKTARI WAZEE NA WENGI WAMEJAA MUHIMBILI WENGI TAMAA MBELE NBILA KUJALI JAMII WACVHACHE SANA WANAOJITOLEA HAPO KANISA LA UPANGA KUSAIDIA MASIKINI LAKINI WENGINI NIN SAWA NA WALIMU WA MUHIMBILI WANAOTAKA KUFA NA FANI ZAO BILA KUWARITHISHA VIJANA MADAKATARI

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 24, 2009

    ndio asaaaa madaktari wazee kwisha habari zao...sijui wanadhani fani ni kuliangalia chumbani lile gauni na kofia mduara alovaa siku anapata uprofesa???

    safi sana vijana wetu kuwapima ao wanaume jamani wapunguze ufisadi wa tabia chafu za nje ya ndoa,,,na wajua status zao za afya...

    na kweli mnalipwa kidogo sana madaktari wetu,kama waalimu

    kila la heri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...