Mkurugenzi wa Taasisi ya amani na utatuzi wa migogoro barani Afrika (IPCS) Cosmas Bahali akifungua mafunzo ya kutunza amani barani Afrika katika ukumbi wa mikutano hoteli ya Beach Comber jijini Dar leo. Washiriki kutoka nchi 19 barani Afrika wanashiriki mafunzo hayo yaliyofadhiriwa na serikali ya Norway.
washiriki wa mafunzo ya kutunza amani barani Afrika wakifuatilia mafunzo yaliyoandaliwa na Taasisi ya amani na utatuzi wa migogoro barani Afrika (IPCS) yanayoendelea katika ukumbi wa mikutano katika hoteli ya Beach Comber jijini Dar leo.

Washiriki wa mafunzo ya kutunza amani kutoka katika nchi 19 barani Afrika wakiwa katika picha ya pamoja nje ya ukumbi wa mikutano wa hotel ya Beach Comber jijini Dar.
Washiriki wa mafunzo ya Kimataifa ya kutunza amani Bw. Raymond Ndamage kutoka Rwanda (kulia) na Karba Abayifaa Moshe kutoka Ghana wakibadilishana mawazo mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya kimataifa ya kutunza amani barani Afrika yanayoendelea jijini Dar.
Picha na mdau Aron Msigwa wa MAELEZO.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 23, 2009

    mafunzo ya nini? ama kweli! namimi najaribu kuja na idea ambayo mashirika mbali mbali yatamwaga pesa zao nialike watu tupige domu, tule tunywe na kujichukulia kipato chetu, idumu afrika.

    Amani haifunzwi darasanai wala kwenye mikutano ya watu wachache wenye vitambi

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 23, 2009

    I am sick and tired of all these meeting ,talking,seminar etc ,etc...and no implemetation on the ground. its kind of a new business.

    The cause of all these problems in African is white man exploitation.... if they do not give your resources for free and you do not cooperate with them, they will bring you trouble in your country.
    solution African must unite we need Nation of Africa (the dream of Marcus Garvey.PK

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 23, 2009

    "Washiriki wa mafunzo ya kutunza amani", Nadhani kaka michuzi hapo wamekosea bali iwe "washiriki wa mafunzo ya kutafuta amani"

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 23, 2009

    per diems na facilitation allowances

    saaafi sana,matumbo yale wapi?

    beach komba iko ivooo???naja kulala apo

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 24, 2009

    vekesheni km za mithupu
    au
    retreat tuuu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...