mwimbaji maarufu wa taarabu nasma khamisi kidogo (shoto) akiwa na mtani wake wa jadi khadija omar kopa katika hafla moja kipindi cha nyuma.
Nasma Khamis Kidogo, ambaye alitamba kwa vibao kadhaa ikiwa ni pamoja na 'Mambo iko Huku' alipokuwa na Muungano Cultual Troupe, amefariki dunia katika hospitali ya Temeke usiku wa kuamkia leo akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
Mipango ya mazishi inafanyika ila bado haijajulikana kama atazikwa Dar ama kwao Kilwa. Habari tutaoa kadri ziavyoingia. Globu ya jamii inatoa mkono wa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki pamoja na wadau wa taarabu kwa kuondokewa na Nasma Khamisi Kidogo
Sio siri kwamba Nasma alikuwa chachu kubwa ya maendeleo ya muziki wa taarabu nchini na Afrika nzima, juhudi ambazo zake yeye na za khadija Kopa ziliwezesha kuzaa 'mipasho' na 'sebene' vinavyotamba kwa sasa katika taarabu ya kizazi kipya.
innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun! inshl mwenyezimungu atamuhifadhi mahala pake pazuri
ReplyDeleteRIP Nasma..yaani misupuu nilivyosoma heading macho yamenitoka karibu nipass out jamani.
ReplyDeletepoleni familia ya late nasma na wadau wote wa rusha roho
niliangalia namba za mdau wa milioni 6 iliypiita zilikuwa bado kumi na saba alfu leo morning naona bado 65 na ushee kulikono mkuu?
ReplyDeleteNawapa pole ndugu wa mama huyu, nilikuwa napenda anavyoimba
ReplyDeletePoleni sana watoto wa marehemu, Ahmadi, Aisha wa pale Ukonga- Majumba sita.
ReplyDeleteMungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Mdau-USA
Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi Inshaalah.
ReplyDeleteMkulima-Kijijini Gezaulole.
RIP Nasma.
ReplyDeleteJamani poleni sana yaani sikuamini niliosoma hii habari kweli imenishtua mno,Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahala pema peponi vilevile awape nguvu ndugu na jamaa wote wa marehemu.
ReplyDeletemdau scandinavia.
Michuzi, can you please put a link of one of her songs? Thanks.
ReplyDeleteMdau
"This world is not my home I'm just a passing through
ReplyDeleteMy treasures are laid up somewhere beyond the blue
The angels beckon me from heaven's open door
And I can't feel at home in this world anymore
Oh Lord you know I have no friend like you
If heaven's not my home then Lord what will I do
The angels beckon me from heaven's open door
And I can't feel at home in this world anymore
I have a loving mother just up in Gloryland
And I don't expect to stop until I shake her hand
She's waiting now for me in heaven's open door
And I can't feel at home in this world anymore
Oh Lord you know...
[ guitar ]
Just over in Gloryland we'll live eternaly the saints on every hand are shouting victory
Their songs of sweetest praise drift back from heaven's shore
And I can't feel at home in this world anymore
Oh Lord you know" by Jim Reeves
R.I.P Mama
Namuombea Mungu amlaze mahala pema...Inasikitisha sana....
ReplyDeleteHii ndiyo siri ya Mungu haitakaa ijulikane kamwe....Yani kila mmoja angekuwa anajua atakufa lini nadhani tungepata muda tosha wa kuagana na vile vile kutubu...
Sauti yake ilikuwa nzuri sana hasa akiimba nyimbo za kubembeleza a.k.a mahaba. Tutabakia kumuenzi kwa kuzisikiliza nyimbo zake.
Mungu akulaze mahali pema peponi, tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi, hapa siyo nyumbani kwetu , sote tu safarini, umetutangulia nasi tutakufuata. R I P NASMA.
ReplyDelete