nahodha wa tanzania standard newspapers ltd (TSN) betram lengama (shoto) akipokea kombe la ubingwa wa kuvuta kamba wakati wa media day iliyoandaliwa na zain wikiendi hii kwenye viunga vya chuo cha posta kijitonyama jijini dar. TSN waliwashinda kirahisi sana Mwananchi Corporation kwenye fainali baada ya kufanikiwa kuzivuta timu zote bila shida
TSN wakijiandaa kutoa watu nishai
TSN wakijiandaa kutoa watu nishai
Mbona Deo Mushi simwoni hapo. Mwananchi wangetoka mapema sana. Hata hivyo nawapongeza wana TSN kwa kuwachachafya hao 'Wakenya'
ReplyDeleteMwananchi walitamani kulia jinsi tulivyowabwaga...ukizingatia hata futball walifika hadi fainali afu wakafungwa na mwanahalisi!
ReplyDeleteTSN...TSN...TSN!