Greetings!!!
Tungependa kufikisha news kuhusiana na REGGAE NITE Bash....
Litakua ni bash mahsusi kwaajili ya kumkumbuka mfalme wa
REGGAE..LUCKY DUBE.
Zaidi ya hapo,itatambulisha Albamu Mpya Kali ya REGGAE
iitwayo BONGO DREAD.kutoka kwa MACHIFU BAND.
LIVE BANDS mahiri za REGGAE zitaperform
pamoja na wasanii wa REGGAE wakiwamo.
JHIKO MAN and Afrikabisa BAND
Ras NDUMI and Machifu BAND
Sister Carola Kinasha...
Kama hiyo haitoshi,zitapigwa ngoma
kali za REGGAE na madijey wakali kwenye one n two...
Hakika hii si ya kukosa....
Come ALL lets rock the party all nite long.....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...