LEO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA!!! Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu, kwa kunilinda mpaka kufika siku hii ya leo hakika ni mapenzi yake yametimia.
Inshaalah, naomba Mungu aniongezee uhai na uzima. PIA...Nawashukuru wale wote ambao waliweza kuwa nami katika safari yangu ya maisha mpaka hii leo.
--
Regards
Bukobawadau
P. O.Box 316,
Bukoba – TANZANIA
Mobile:MC BARAKA GALIATANO
+255 715 505043,
SIR.LOOM GALIATANO
+255 768 397241
Emails: bukobawadau@gmail.com
Barakobama oups sorry Galiatano, mbona hujasema umefikisha umri gani ?? au umefanya siri !! maana naona kuna jimvi kwa mbali, sema bwana usiogope ,maana umefumba Mungu kakujaalia kufikia hapa WAPI ?? sasa ??? Zebedayo msema kweli
ReplyDeleteZebedayo stop guessing!My young brother usimkomaze!!Wapi umeona jimvi???.
ReplyDeleteKila la Kheri MC baraka wa Bukobawadau Blog!!!!Allah Akuongezee Umri mrefu,Afya njema!na Ukija'aliwa kuoa,umpate mke mwema na mja'aliwe kizazi bora Insha'Allah!
You look Cute Bro wangu!
Hanny