Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, leo kimewafukuza madiwani 8 wa Manispaa ya Bukoba kupitia chama hicho na kufutwa nyadhifa zao za udiwani kutokana na mgogoro uliokuwa ukiendelea
Waliofukuzwa ni:
- Richard Gaspar (Miembeni )
- Murungi Kichwabuta (Viti maalum)
- Alexander Ngalinda ambaye pia ni Naibu Meya (Buhembe)
- Yusuf Ngaiza ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa wilaya (Kashai)
- Deusdedit Mutakyahwa (Nyanga)
- Robert Katunzi (Hamugembe)
- Samwel Ruhangisa (Kitendaguro) na
- Dauda Kalumuna (Ijuganyondo)
Eeeh mmeona sasaa!!? Huo ujinga CHADEMA hawautagi kabisa, na huwa mlikua mnaingilia hadi madiwani na wabunge wa vyama vingine wakitimuliwa, sasa na nyie yamewashindaeeeh!!!? heeee heeeeeeee mnalo hiloooo
ReplyDeleteaisee we jamaa wa juu hapo unaakili kama panzi...akisikia nyayo anaruka.
ReplyDelete