RPC
wa Mkoa wa Morogoro,Faustine Shilogile akisalimiana na Mkurugenzi wa
Anatory Pool club,Anatory Makasi alipotembelea ofisini kwake
kutambulisha club yake kuwa ndio wanaopeperusha bendela ya mkoa katika
fainali za kitaifa ziazotarajiwa kufanyika wiki hii mkoani humo kwa
kushirikisha mikoa 17,ikiwakilishwa na vilabu 17.
RPC,
Faustine Shilogile,Mkurugenzi wa Anatory,Anatory Makasi,Uongozi wa TBL
Mkoa wa Morogoro na wachezaji wa Club ya Anatory wakiwa kwenye picha ya
pamoja.
Kutoka
kushoto ni Mkurugenzi wa Anatory Pool Club, Anatory Makasi,Supervisor
kutoka Kampuni ya Integrated Communications Limited, Amadeo Thadeo,
Meneja mauzo TBL Mkoa wa Morogoro, Jemes Gomila na Wachezaji wa Club ya
Anatory wakimsikiliza RPC wa Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile(hayupo
pichani) walipomtembelea ofsini kwake leo kujitambulisha kuwa wao ndio
mabingwa wa mkoa watakaopeperusha bendera ya mkoa kwenye fainali za
kitaifa zinazofanyika wiki hii mkoani hapo.
Mkurugenzi
wa Anatory Pool Club, Anatory Makasi(wa pili kulia) akiwa kwenye picha
ya pamoja na wachezaji wake kwenye Clab yake kabla ya kuanza ziara.
HONGERA SANA MKURUGENZI,KAFANYA MAZOEZI UPUNGUZE TUMBO.ASANTE.MDAU CHELMSFORD.
ReplyDelete