RPC wa Mkoa wa Morogoro,Faustine Shilogile akisalimiana na Mkurugenzi wa Anatory Pool club,Anatory Makasi alipotembelea ofisini kwake kutambulisha club yake kuwa ndio wanaopeperusha bendela ya mkoa katika fainali za kitaifa ziazotarajiwa kufanyika wiki hii mkoani humo kwa kushirikisha mikoa 17,ikiwakilishwa na vilabu 17.
 RPC, Faustine Shilogile,Mkurugenzi wa Anatory,Anatory Makasi,Uongozi wa TBL Mkoa wa Morogoro na wachezaji wa Club ya Anatory wakiwa kwenye picha ya pamoja.
 Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Anatory Pool Club, Anatory Makasi,Supervisor kutoka Kampuni ya Integrated Communications Limited, Amadeo Thadeo, Meneja mauzo TBL Mkoa wa Morogoro, Jemes Gomila na Wachezaji wa Club ya Anatory wakimsikiliza RPC wa Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile(hayupo pichani) walipomtembelea ofsini kwake leo kujitambulisha kuwa wao ndio mabingwa wa mkoa watakaopeperusha bendera ya mkoa kwenye fainali za kitaifa zinazofanyika wiki hii mkoani hapo.
 Mkurugenzi wa Anatory Pool Club, Anatory Makasi(wa pili kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na wachezaji wake kwenye Clab yake kabla ya kuanza ziara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. HONGERA SANA MKURUGENZI,KAFANYA MAZOEZI UPUNGUZE TUMBO.ASANTE.MDAU CHELMSFORD.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...