Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Waziri Mkuu, Mstaafu Frederick Sumaye ambaye amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu leo Januari 12, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (wapili kushoto) wakizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amnaye amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu leo Januari 12, 2016. Kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Mama Esther Sumaye na Mama Majaliwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Balozi Hassan Kibelloh ambaye amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa Matibabu Januari 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Namsifu sana waziri mkuu mstaafu kukubali kutibiwa Muhimbili ni mfano mzuri wa kuigwa na viongozi wanaopenda kukimbilia ulaya na pesa za walipa kodi. Ugua pole mheshimiwa
ReplyDeleteThis is more than a 5 Star hotel?
ReplyDelete