Meneja wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Mwanza, Elinser ​Nyange (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kitengo maalumu cha kuhudumia wateja maalum (Private Banking) katika tawi la Benki ya NBC mkoani Mwanza hivi karibuni. Kushoto ni Meneja wa NBC wa tawi hilo, Godhard Hunja na kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Wateja Maluum wa NBC, Ashura Waziri. Hiki ni kitengo cha tatu kuanzishwa baada ya vingine viwili katika matawi ya Sea Cliff na Corporate ya jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Maalum wa Benki ya NBC, Ashura Waziri (kulia), akimpa maelezo Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mwanza, Elins​er Nyange (katikati) kuhusu huduma za kibenki za NBC wakati wa uzinduzi rasmi wa kitengo kipya cha kuhudumia wateja maalum (Private Banking) katika tawi la NBC jijini Mwanza. Hafla hiyo ilifanyika mjini Mwanza hivi karibuni. Anayeangalia ni Meneja wa tawi hilo, Godhard Hunja. Hiki ni kitengo cha tatu baada ya vingine viwili kuzinduliwa katika matawi ya Sea Cliff na Corporate ya jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Benki ya NBC tawi la Mwanza, Godhard Hunja (kushoto), akifafanunua jambo kwa Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mwanza, Elins​er​ Nyange (k​ulia) na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Maalum, Ashura Waziri akiangalia wakati wa uzinduzi rasmi wa kitengo kipya cha kuhudumia wateja maalum (Private Banking) katika tawi hilo. Uzinduz​i huo ulifanyika mjini Mwanza hivi karibuni.
Meneja wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Mwanza, Elinser​Nyange (wa pili kulia) akifanya mahojiano wa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...