Kamishna wa oparesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi, CP
Nsato Marijani, akizungumza na waandishi wa habari makao
makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam. Kamishna Nsato
Marijani amesisitiza wananchi kuendelea kutoa taarifa za uhalifu
na wahalifu ili kuupunguza uhalifu na hatimaye nchi iwe ya Amani
na utulivu. Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.
Home
Unlabelled
KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO WA JESHI LA POLISI AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...