Kamishna wa oparesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi, CP Nsato Marijani, akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam. Kamishna Nsato Marijani amesisitiza wananchi kuendelea kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili kuupunguza uhalifu na hatimaye nchi iwe ya Amani na utulivu. Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...