Leo tarehe 11 Machi 2016 umefikisha mwaka mmoja tangu umetangulia kwa Baba yetu aliye mbinguni.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa baraka na upendeleo wa kuwa sehemu ya maisha yako hapa duniani.
Tunaendelea kukumbuka kwa upendo wako, ukarimu, ucheshi na ufundishaji wako.
Daima mioyoni mwetu unakumbukwa na mkeo, watoto wako, wakwe zako, wajukuu wako, wanafunzi wako, ndugu, jamaa na marafiki.
Pumzika kwa Amani Mzee Makilagi. Raha ya Milele Uwape Eh Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie.
Amina
RIP MZEE MAKILAGI,KWA KWELI NAKUKUMBUKA MZEE WA GULF AIR AS CARGO MANAGER.UPUMZIKE KWA AMANI WOTE NJIA YETU NI HIYO HIYO TUNAPISHANA SIKU TU
ReplyDeleteRejoice in Paradise baba.
ReplyDelete
ReplyDeleteRejoice in Paradise baba !