Home
Unlabelled
MVUA KUBWA YALETA ADHA YA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwa sisi watoto wa mujini tunasema wanaisoma namba......au tunasema na bado......kwikwikwikwi
ReplyDeleteMafuriko ni hatari lakini huyo dada aliyeweka mkono mfukoni kwa kaka aliyepishana naye ni hatari zaidi. Huyo lazima ni mchomoaji mzoefu.
ReplyDeleteNa umri huo mshajua kulalamika, kazi ipo.
ReplyDeleteSiku si nyingi sana watu mbalimbali walikuwa wakijigamba kuhusu mafuriko. Mafuriko haya vipi sasa? Mbona sisiskii mtu akijigamba?
ReplyDeleteWabadili system ya mifereji yao dunia gani ina mifereji iloyo wazi...wakati watu hawana ustaarabu taka taka zote zinatupwa hapo....wajaribu kuweka mifereji ya chini ya ardhi kama nchi zingine
ReplyDelete