Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete akihutubia katika mahafali ya 2016 ya Shirikisho la wanafunzi wa vyuo vikuu wa CCM yaliyofanyika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam leo jioni.
Vijana vyuo vikuu Dar es Salaam wakiserebuka katika mahafali yao.
Vijana hao wakiendelea kuserebuka.
Hapa ni furaha kwa kwenda mbele.
Ni kama wanasema' Hapa ni ushindi tu 2020 kwani vijana tumejipanga. Picha zote na Dotto Mwaibale
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...