Dada yetu wa mtaa leo akiwa katika harakati za akimwaga maji pembezoni mwa mtaro  akiwa na nia ya kumwaga maji machafu ambayo ameshayatumia kwa kusafisha vyombo vyake ila faida yetu ni kupunguza mavumbi katika kipindi hiki cha upepo mkali jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...