Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini Silvestry Koka akimkabidhi mmoja wa wahanga waliounguliwa maduka yao eneo la maili moja kiasi cha shilingi laki tano ikiwa ni kuwapa msaada wa kuanzia mtaji mwingine alipofanya ziara ya siku moja ya kuwapa pole.
Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka akikagua moja ya sehemu ya  vibanda vya biashara vilivyopo katika eneo la maili moja baada ya kuteketea kwa moto na kuweza  kuunguza  maduka matano  moto huo ulizuka hivi karibu.(PICHA NA VICTOR MASANGU)

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA.
WIMBI la kutokea kwa majanga ya moto bado limeonekana bado kuwa ni tatizo sugu kutokana na kuwepo kwa uelewa mdogo kwa wananchi kuhusiana na namna ya kuweza kuzuia majanga ya moto  pindi yananapojitokeza pamoja na kutokuwa na vifaa vya kuzimia.

Hayo yamebainishwa na Afisa uhusiano wa Jeshi la zima moto na uokoaji Mkoa wa Pwani Harryson Mkonyi   wakati akizungumza katika mkutano maalumu  wa kuwafariji na baadhi ya  wahanga ambao ni wafanyabiashara  waliounguliwa maduka yao na kuteketeza mali zao zote  kwa moto katika eneo la maili moja Wilayani Kibaha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...