Julai 2001: Taifa Stars wakiwa katika uwanja wa Independence jijini Lusaka kupambana na timu ya taifa ya Zambia "KK 11" ikiwa ni mojawapo ya michezo kusherehekea kuzaliwa kwa African Union (AU) iliyorithi Organisation of African Unity (OAU) iliyokuwa chini ya Katibu wake Mkuu wa mwisho Dkt. Salim Ahmed Salim, ambapo Amara Essy wa Ivory Coast alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa kwanza wa AU. Katika mchezo huu Taifa Stars ilikuwa chini ya makocha Gulam (wa pili kushoto) wa Zanzibar na Zakaria Kinanda (wa saba toka kushoto). Meneja wa timu alikuwa Jaji John Mkwawa (kushoto)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2016

    kama sikosei, walio chuchumaa wa 3 kutoka kulia ni Nassor Mwinyi Bwanga,anaefuatia ni Hussein Amani Masrsha, walio simama wa nne kutoka kulia ni Mohammed Salum. Haya tuendelee bac.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...