Mgeni rasmi Dr.Guido Nicolai akifungua hotuba maalumu kuhusu Harambee ya kuchangia hospital ya Mwananyamala nchini Tanzania.Kikundi cha Upendo Womens Group kilichopo nchini Ubelgiji jana tarehe 11.06.2016 walifanya Arambee hiyo kuwasaidia kina mama wanaojifungua katika mazingira magumu nchini Tanzania.
|
Home
Unlabelled
UPENDO WOMEN'S GROUP YA UBELGIJI YAFANYA HARAMBEE YA KUISADIA HOSPITALI YA MWANANYAMALA TANZANIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Asanteni sana kwa moyo wenu na muwape shukurani zetu wadau wenzenu waliochangia na waambieni tunawakaribisha sana Tanzania.
ReplyDelete