Madaktari
Bingwa wa Upasuaji wa Kituo cha Moyo cha Jakaya Kikwete (JKCI), Dk.
Evarist Nyawawa (kushoto) na Dk Hussein Hassanali wakimfanyia upasuaji
mmoja wa wagonjwa ambapo wengine huwapandikiza mishipa ya damu kwenye
moyo juzi katika kituo hicho kilichopo Muhimbili, Dar es Salaam.PICHA
ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Madaktari mbalimbali wakiendelea na kazi katika chumba cha upasuaji moyo
Mmiliki wa Blog hii ya Kamanda wa Matukio, Richard Mwaikenda (katikati) akiwa na wanahabari wenzie wakijiandaa kufanya coverage kwenye chumba cha upasuaji
wakiendelea na upasuaji
Mtaalamu wa Usingizi wa Kituo cha Moyo cha Jakaya Kikwete (JKCI), Dk. Edwin Lugazia akitumia kompyuta kuhakikisha hakuna hitilafu yoyote inatokea kwa mgonjwa aliyekuwa anapandikizwa mishipa ya damu kwenye moyo katika kituo hicho kilichopo Muhimbili, Dar es Salaam.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Madaktari mbalimbali wakiendelea na kazi katika chumba cha upasuaji moyo
Mmiliki wa Blog hii ya Kamanda wa Matukio, Richard Mwaikenda (katikati) akiwa na wanahabari wenzie wakijiandaa kufanya coverage kwenye chumba cha upasuaji
wakiendelea na upasuaji
Mtaalamu wa Usingizi wa Kituo cha Moyo cha Jakaya Kikwete (JKCI), Dk. Edwin Lugazia akitumia kompyuta kuhakikisha hakuna hitilafu yoyote inatokea kwa mgonjwa aliyekuwa anapandikizwa mishipa ya damu kwenye moyo katika kituo hicho kilichopo Muhimbili, Dar es Salaam.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...