Mchekaji wa Mjini Songea mkoani Ruvuma Chaku Master, amezitaka timu ambazo zinashiriki kombe la Azam Sport Federation (FA CUP ) hasa zile ambazo hazipo ligi kuu Tanzania bara, kukaza katika michezo hiyo ili ziweze kutwa ubinga wa FA CUP na sio kuwa wasindikizaji ama kukaa na kusema kombe hilo ni la timu kubwa tu, huku akitolea mfano wa mchezo wa mwaka jana kati ya Yanga na JKT Mlale ambayo yanga ilipata ushindi kwa tabu zaidi. Hii hapa video yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...