Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira Mh. January Makamba (wa kwanza kushoto) akiwaongoza kupitia Makabrasha ya masuala ya Mazingira, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Dhamana ya Hifadhi ya Mazingira Bw. Ali A. Mufuruki, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora na Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akijadili jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Dhamana ya Hifadhi ya Mazingira Bw. Ali A. Mufuruki alimpotembelea Waziri Makamba Ofisini kwake mapema hivi leo.
Wakifurahia jambo kwa pamoja Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira Mh. January Makamba, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Dhamana ya Hifadhi ya Mazingira Bw. Ali A. Mufuruki, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora na Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...