Kamera yetu ilipo kuwa ikiangazia maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya leo ilijikuta ikikuibulia Taswira mbalimbali za Mvua iliyopiga kwa kitambo kuanzia asubuhi ya leo mpaka saa nane mchana na kuweka hali ya usawa kwa wanambeya hasa kwa wafanyabiashara mbalimbali jijini hapo. pichani ni chombo cha usafiri aina ya Bajaji kikiwa kimetumbukia kwenye dimbwi la Maji maeneo ya Shule ya Sekondari Sinde jijini Mbeya.
Hapa ni ndani ya uzio wa Soko kuu la kimataifa la Mwanjelwa eneo la wafanyabishara ndogo ndogo maarufu kwa jina la Wamachinga wakiwa wamejiweka sawa kwa kujiongeza kufunika bidhaa zao zisiathiliwe na Mvua.
Hapo kila mtu na Mwamvuli wake mitaa ya Ilemi jijini Mbeya.
Hivi ndivyo mambo yalivyo noga leo Jijini Mbeya.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO WA MMG MBEYA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...