Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa Uvccm Bw Peter Thadeo Akimkabidhi Hati ya Umiliki jengo na eneo Katibu wa Tawi la Ccm Kipala Bi Sharifa Mnenje
Mjumbe wa Mkutano mkuu Taifa UVCCM Bw Peter Thadeo ambaye amemuwakilisha katibu wa Ccm Uchumi na Fedha wilaya ya Mkuranga Dkt Thadeo Mutembei akiongea na Wanachama na viongozi mbalimbali wa Kata ya Mwandege.
Mwenyekiti wa CCM Kata Bw Kazibure Mtorokudu akifafanua jambo kwa wanachama wa CCM katika mkutano huo.
Mjumbe wa Mkutano mkuu Taifa Uvccm Bw Peter Thadeo katikati akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali kipitia chama cha Mapinduzi CCM.Picha na Yassir Adam -GLobu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...