Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa Uvccm Bw Peter Thadeo Akimkabidhi Hati ya Umiliki jengo na eneo Katibu wa Tawi la Ccm Kipala Bi Sharifa Mnenje
 Mjumbe wa Mkutano mkuu Taifa UVCCM  Bw Peter Thadeo ambaye amemuwakilisha katibu wa Ccm Uchumi na Fedha wilaya ya Mkuranga Dkt Thadeo Mutembei akiongea na Wanachama na viongozi mbalimbali wa Kata ya Mwandege.
 Mwenyekiti wa CCM Kata Bw Kazibure Mtorokudu akifafanua jambo kwa wanachama wa CCM katika mkutano huo.
Mjumbe wa Mkutano mkuu Taifa Uvccm Bw Peter Thadeo katikati akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali kipitia chama cha Mapinduzi CCM.Picha na Yassir Adam -GLobu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...