Waziri Mbarawa (katikati), akisikiliza kwa makini maelezo ya Mhandisi Mohamed Millanga kuhusu ujenzi huo.
 Mkurugenzi wa Mradi Mhandisi Mohamed Millanga akitoa maelezo kwa Waziri Mbarawa.
 Waziri Mbarawa akikagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria (TB III) katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere.  
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliamo, Prof. Makame Mbarawa (kushoto), akipata maelezo kuhusu ujenzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kutoka kwa Mkurugenzi wa Mradi Mhandisi Mohamed Millanga wakati waziri alipofanya ziara jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...