Shalom!
Ni jumapili hii ya March 5,2017
Bwana ametupa kumfanyia Ibada ya kumwabudu kwa Wimbo Mmoja!
Tafadhali unakaribishwa sana!
Kwa niaba ya waandaaji, Ninakuomba UTUOMBEE, Utusaidie kuwakaribisha wengine kupitia mitandao ya kijamii na wale unaofahamiana nao!
Lakini pia Usisite kuwasiliana nasi kama unalo jambo lolote kupitia 0713883797!
Ibada itaanza Saa tisa na Hakuna Kiingilio!
KARIBU SANA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...