Na Afisa habari Mufindi

Jumla ya Maafisa habari na temaha 110 kutoka kwenye halmshauri na Mikoa, leo wanaendelea na mafunzo ya siku saba yenye lengo la kuwajengea uwezo wa kuendesha na kusimamia tovuti za taasisi zao jambo amabalo linafungua ukurasa mpya wa kupasha habari za serikali kwa umma kote duniani.

Mafunzo hayo yanayotekelezwa makao makuu ya nchi mjini Dodoma kuanzia tarehe 20 mpaka tarehe 27 mwezi huu, yanafanyika kupitia mradi wa kuimalisha mifumo ya sekta za umma (PS3) kwa ufadhili wa shirika la misaada la Marekani maarufu kama (USAID)

Mafunzo yanatolewa kwa kuzijumuisha sekta hizo pacha za tehama na habari yatawaimarisha Maafisa habari juu ya namna bora ya kuweka na kupasha habari kimkakati na kwa ubora wa kimataifa huku Maafisa Tehama wakiimarishwa kwenye masuala ya kifundi ili kuhakikisha tovuti hizo zinakuwa kwenye hali nzuri ili zitumike muda wote. 
Aidha, Mafunzo hayo yanatolewa katika ngazi ya kanda sita ambapo kanda ya Dodoma ikiwa na Maafisa 110 inqjumuisha Mikoa ya Iringa yenye Halmashauri 05, Dodoma Halmshauri 08, Manyara halmshauri 07 Singinda halmshauri 06, Pwani halmashauri 09 Geita, halms. 
Picha ni maafisa habari na tehama wakiwa kwenye mafunzo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...