Mkurugenzi wa
Hope Art Factory Hellen Tegga
akizungumza katika mafunzo ya wanawake juu ya ujasiliamali na kupaza sauti yaliyofanyika Millenium Tower
jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Mfuko
Graca Machel , Manuel Akinyi akitoa mada katika mafunzo ya wanawake juu
ya ujasiliamali na kupaza sauti
yaliyofanyika Millenium Tower jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa
Hope Art Factory ,Hellen Tegga akimkabidhi
cheti cha ushiriki wa mafunzo ya wanawake
ya Ujasiliamali , Ainde Ndanshau
yaliyofanyika katika ukumbi wa Milllenium Tower jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa
Hope Art Factory ,Hellen Tegga akimkabidhi
cheti cha ushiriki wa mafunzo ya wanawake
ya Ujasiliamali , Mrcy Mchechu yaliyofanyika katika ukumbi wa Milllenium
Tower jijini Dar es Salaam.
Washiriki wakiwa katika mafunzo ya wanawake yaliofanyika katika ukumbi wa Milleniumm Tower jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii)
Picha ya pamoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...