Mkurugenzi  wa  Hope Art  Factory Hellen Tegga akizungumza katika mafunzo ya wanawake juu ya ujasiliamali  na kupaza sauti yaliyofanyika Millenium Tower jijini Dar es Salaam.
 Mratibu  wa Mfuko  Graca Machel , Manuel Akinyi akitoa mada katika mafunzo ya wanawake juu ya ujasiliamali  na kupaza sauti yaliyofanyika Millenium Tower jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi  wa  Hope Art  Factory ,Hellen Tegga akimkabidhi cheti cha ushiriki wa mafunzo ya wanawake  ya Ujasiliamali  , Ainde Ndanshau yaliyofanyika katika ukumbi wa Milllenium Tower jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi  wa  Hope Art  Factory ,Hellen Tegga akimkabidhi cheti cha ushiriki wa mafunzo ya wanawake  ya Ujasiliamali  ,  Mrcy Mchechu  yaliyofanyika katika ukumbi wa Milllenium Tower jijini Dar es Salaam.
Washiriki wakiwa katika mafunzo ya wanawake yaliofanyika katika ukumbi wa Milleniumm Tower jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii)
Picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...