Aliyekuwa Waziri wa habari Sanaa utamaduni na Michezo Nape Nnauye akizungumza wakati wa ufunguzi wa wiki ya Filamu ya Jamhuri ya watu wa China.
Watu mbalimbali wakifatilia Sinema katika kumbi wa Quality Centre wakati wa uzinduzi wa wiki ya utamaduni wa china
Baadhi ya wasanii wa filamu hapa nchini wakifatilia tukio hilo
Katibu mkuu wa Chama Cha Kikomunisti cha China(CPC),Mh Guo Jinlong.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...