Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kulia)
akiwasilisha mada katika mkutano ulioandaliwa na benki hiyo na
kushirikisha mabalozi, wawakilishi wa taasisi za maendeleo kimataifa,
wanadiplomasia pamoja na asasi za kiraia nchini. Wajumbe hao walikutana
Makao Makuu ya Ofisi za Benki ya NMB jana jijini Dar es Salaam lengo
likiwa ni kujenga mtandao na ushirikiano. Katika mada yake kwa washiriki
wa mkutano huo, Bi. Bussemaker alielezea benki ya NMB ilivyo na fursa
mbalimbali kwa makundi tofauti na hasa inavyowasaidia wafanyabiashara
kupitia bidhaa yake ya Trade Finance.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kushoto)
akimkaribisha mmoja wa washiriki katika mkutano ulioandaliwa na benki
hiyo na kushirikisha mabalozi, wawakilishi wa taasisi za maendeleo
kimataifa, wanadiplomasia pamoja na asasi za kiraia nchini.
Sehemu ya washiriki katika mkutano ulioandaliwa na Benki ya NMB na
kushirikisha mabalozi, wawakilishi wa taasisi za maendeleo kimataifa,
wanadiplomasia pamoja na asasi za kiraia nchini. Wajumbe hao walikutana
Makao Makuu ya Ofisi za Benki ya NMB jana jijini Dar es Salaam lengo
likiwa ni kujenga mtandao na ushirikiano.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kulia)
akiwasilisha mada katika mkutano ulioandaliwa na benki hiyo na
kushirikisha mabalozi, wawakilishi wa taasisi za maendeleo kimataifa,
wanadiplomasia pamoja na asasi za kiraia nchini. Wajumbe hao walikutana
Makao Makuu ya Ofisi za Benki ya NMB jana jijini Dar es Salaam lengo
likiwa ni kujenga mtandao na ushirikiano. Katika mada yake kwa washiriki
wa mkutano huo, Bi. Bussemaker alielezea benki ya NMB ilivyo na fursa
mbalimbali kwa makundi tofauti na hasa inavyowasaidia wafanyabiashara
kupitia bidhaa yake ya Trade Finance.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kulia)
akiwasilisha mada katika mkutano ulioandaliwa na benki hiyo na
kushirikisha mabalozi, wawakilishi wa taasisi za maendeleo kimataifa,
wanadiplomasia pamoja na asasi za kiraia nchini. Wajumbe hao walikutana
Makao Makuu ya Ofisi za Benki ya NMB jana jijini Dar es Salaam lengo
likiwa ni kujenga mtandao na ushirikiano. Katika mada yake kwa washiriki
wa mkutano huo, Bi. Bussemaker alielezea benki ya NMB ilivyo na fursa
mbalimbali kwa makundi tofauti na hasa inavyowasaidia wafanyabiashara
kupitia bidhaa yake ya Trade Finance.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...