Mkali wa muziki wa Singeli nchini, Msaga Sumu akiwapagawisha wanafunzi wa chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) na wimbo wa mwanaume mashine wakati wa tamasha la Pinduapindua lilioandaliwa na Vodacom Tanzania PLC, na kufanyika katika viwanjaa vya hosteli za Mabibo jijini Dar es Salaam,Tamasha hilo lilikuwa na lengo la kuwaelimisha wanafunzi wa chuo hicho  kuhusu huduma ya kifurushi cha Pinduapindua.

 Msanii wa muziki wa Hip Hop, Young Killer akionyesha umahiri wake wa kurapu”Kufokafoka” wakati wa tamasha la Pinduapindua lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC, na kufanyika katika viwanja vya hosteli za Mabibo jijini Dar es Salaam,Tamasha hilo lilikuwa na lengo la kuwaelimisha wanafunzi wa chuo hicho  kuhusu huduma ya kifurushi cha Pinduapindua.
 Mtaalam wa kucheza na baiskeli ,Awadhi Mazame  wa kundi la Chego Bike akionyesha manjonjo ya kuruka na baiskeli  yake wakati wa tamasha la Pinduapindua lilioandaliwa na Vodacom Tanzania PLC, na kufanyika katika viwanja vya hosteli za Mabibo jijini Dar es Salaam,Tamasha hilo lilikuwa na lengo la kuwaelimisha wanafunzi wa chuo hicho  kuhusu huduma ya kifurushi cha Pinduapindua.
 Kundi la Maco Swagg  Husein Habib  likionyesha staili ya Pinduapindua wakati wa tamasha la Pinduapindua lilioandaliwa na Vodacom Tanzania PLC, na kufanyika katika viwanjaa vya hosteli za Mabibo jijini Dar es Salaam,Tamasha hilo lilikuwa na lengo la kuwaelimisha wanafunzi wa chuo hicho  kuhusu huduma ya kifurushi cha Pinduapindua.

Abdallah Juma wakundi la Maco Swagg akionyesha umahiri wake wa kucheza pinduapindua, wakati wa tamasha la Pinduapindua lilioandaliwa na Vodacom Tanzania PLC, na kufanyika katika viwanjaa vya hosteli za Mabibo jijini Dar es Salaam,Tamasha hilo lilikuwa na lengo la kuwaelimisha wanafunzi wa chuo hicho  kuhusu huduma ya kifurushi cha Pinduapindua.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...