Baadhi
ya Mafundi wa Mabomba ya maji, wakiendelea na zoezi la kuhamisha
mabomba katika tenki la maji nje ya Majengo ya Wizara ya Maji, Ubungo
jijini Dar es salaam ikiwa ni maandalizi ya kubomoa majengo hayo ili
kupisha ujenzi wa barabara za juu, kufuatia agizo lililotolewa na Rais
Dkt. John Pombe Magufuli.
Fundi akikata moja ya Mabomba hayo.
Ubomoaji ukiendelea katika majengo ya Wizara ya Maji, Ubungo jijini Dar es salaam leo.
Matenki ya maji yakihamishwa kupisha bomoa bomoa.
Baadhi ya majengo yakiwa yameshatembezewa nyundozzz.
ReplyDeletehakuna mpango kazi wa taifa kila kiongozi anakuja na maono yake