Baadhi ya Mafundi wa Mabomba ya maji, wakiendelea na zoezi la kuhamisha mabomba katika tenki la maji nje ya Majengo ya Wizara ya Maji, Ubungo jijini Dar es salaam ikiwa ni maandalizi ya kubomoa majengo hayo ili kupisha ujenzi wa barabara za juu, kufuatia agizo lililotolewa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
 Fundi akikata moja ya Mabomba hayo.
 Ubomoaji ukiendelea katika majengo ya Wizara ya Maji, Ubungo jijini Dar es salaam leo.
 Matenki ya maji yakihamishwa kupisha bomoa bomoa.
 Baadhi ya majengo yakiwa yameshatembezewa nyundozzz.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa


  1. hakuna mpango kazi wa taifa kila kiongozi anakuja na maono yake

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...