Waziri mkuu Mh.KASSIM MJALIWA kesho anatarajia kuwasili mkoa RUVUMA majira ya saa saba mchna kwa ziara ya siku tatu ambapo ataanzia katika wilaya ya NAMTUMBO pamoja na TUNDURU hayo yamesemawa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINE MNDEME wakati akizungumza na waandishi wa habari habari kamili hii hapa video yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...