Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM , Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wajumbe wa mkutano wa Umoja wa Vijana wa Chama hicho (UVCCM) kabla ya kufungua mkutano wao wa Tisa unaofanyika katika ukumbi wa chuo cha Mipango mkoani Dodoma leo.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM , Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Katibu Mkuu wa Chama hicho, Ndg. Abdulrahman Kinana, Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa pamoja Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa, Mboni Mhita wakiimba moja ya nyimbo za Chama hicho, kabla ya kufungua mkutano wa Tisa wa UVCCM unaofanyika katika ukumbi wa chuo cha Mipango mkoani Dodoma leo.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM , Rais Dkt. John Pombe Magufuli, akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Chama hicho, Ndg. Abdulrahman Kinana, katika mkutano wa Tisa wa UVCCM unaofanyika katika ukumbi wa chuo cha Mipango mkoani Dodoma leo. Katikati ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa akifuatiwa na Mke wa Rais, Mama Jannet Magufuli.
Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, Shaka Hamdu Shaka akizungumza na wajumbe wa mkutano tisa wa Umoja wa Vijana wa Chama hicho unaofanyika katika ukumbi wa chuo cha Mipango mkoani Dodoma leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...