Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk.Adelardus Kilangi leo  Jumanne amemtembelea  Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Stephen Kigaigai ofisini kwake mjini Dodoma kwa ajili ya  kujitambulisha.  Katika  mazungumzo yao, viongozi hao wawili wamesisitiza haja na umuhimu wa   Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali  na Bunge kuendelea  kushirikiana ipasavyo na kufanya  kazi kwa karibu. 
Picha kwa hisani ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...