Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk.Adelardus Kilangi leo Jumanne amemtembelea Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Stephen Kigaigai ofisini kwake mjini Dodoma kwa ajili ya kujitambulisha. Katika mazungumzo yao, viongozi hao wawili wamesisitiza haja na umuhimu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Bunge kuendelea kushirikiana ipasavyo na kufanya kazi kwa karibu.
Picha kwa hisani ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...