Home
Unlabelled
mavazi ya dini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Dini ya kiarabu.
ReplyDeleteBaibui ni nguo ya Asili ya watu wa Middle East (Wakristo na waislam) Kwa sababu linavaliwa na wa Israel na Wapalestina na woote wa Middle East
ReplyDeleteDuh! Asante sana michuzi kwani nimefanikiwa kumuona class mate wangu(huyo sista).Kwa kweli ni mcha mungu na hupenda kutoa ushirikiano sana.
ReplyDeleteMambo shwari hii utaona bongo hatuna kinaa na mtu wee vunja ya kubana na mpasuo wenzio wengine wananyonga mpaka kwenye uso basi mambo tuu
ReplyDeleteHilo ni vazi la Kiarabu ambao wengine ni Waislam na Wengine Wakristu
ReplyDeleteHapo ni sawa na kusema majina ya Kiarabu ndiyo ya Kiislam
No way, sista yule kalostica! Hebu mkumbushe kwamba unaweza kuimba vilevile ukivaa shorts au Mkondo-out sio lazima baibui!Sio harau kwake!
ReplyDelete