Home
Unlabelled
Posta ya zamani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
tumekiona bwana kuna mapaa yenye rangi mpya mpya pale! big up! kama nika dar vile
ReplyDeletehivi yale mameli mabovu yaliishaondoka?
ReplyDeleteumekuwa kipofu bwana alama? imebaki moja tu, mz zahra
ReplyDeleteLakini bwana Michuzi hali ya fukwe zetu hairidhishi hata kidogo!
ReplyDeletefukwe za ughaibuni ama bongo? fafanua bwana fikrathabit, kwani sie tulio huku siku hizi twaona mabadiliko. ama ulitaka zilidhishe vipi?
ReplyDeleteBwaba michuzi inaonekana umemezwa na mfumo uliopo wa kupigia makofi kila kiandikwacho,kisemwacho na kisifiwacho bila kujikita ndani kuchabua ukweli uliopo!
ReplyDeleteWewe fukwe ya salender huioni na hata hiyo uliyopiga picha kutoa eneo la Kilimanjaro Kempisk!!!!!
Sehemu kama coco beach bado hatuwezi kujivunia hata kidogo kuhusu usafi licha ya kua maarufu na kutembelewa na watu kibao,BADO ni kuchafu.Acha ukereketwa brother!!!!
Mzee tuko njiani tunarudi, mambo yote Bongo.
ReplyDeleteNafikili hilo eneo limebadilika kiasi kikubwa na sioni uchafu wake uko wapi. at least hiyo fukwe haiko poluted kama tunazoziona hapa uk kwa mfano.To be honest with you brother wote tuna usongo wa kurudi nyumbani. I think everyone is enjoying that of your pic. Imean its a blue sea and a sunshine. Hapa kwetu ni Wet and dumb and no one is smilling!!! mzee simkae weston-super-mare au Barnham on sea ni kuchafu najua unapajua
ReplyDelete