Home
Unlabelled
yanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Toka shoto ni Gaudence Mwaikimba,Abdi Kassim, Hamisi Yusouph "waziri wa ulinzi", Ivo Mapunda na Nadir Haroub "Canavaro".
ReplyDeleteWapi Nsajigwa na SMG?
Penye nia pana njia.
Si mchezo, bila shaka Jumapili tutaanza kuona matunda ya mazoezi ya Brazil.
ReplyDeleteKwa wale wana Yanga Blogu yetu ni www.yangatz.blogspot.com
Ni kama vile Abdi Kassim na Hamis Yusuph wanasema....ebwana wee hiyo jumapili hao Atletico watatukoma yaani ni formation ya samba kwenda mbele.Huku Ivo Mapunda,Gaudence Mwaikimba na Nadir Haroub wakitafakari joto la bongo.
ReplyDeleteDuh!kweli jamaa hawakwenda kutalii,wamepungua kwelikweli!
ReplyDeleteKila la kheri yanga jpili.Ila im not happy na huyu kocha wao,anatakiwa awape psychological support timu yake,sio kuyugayuga tu!aache uoga,uwezo wa Yanga kuwafunga hawa wa Angola upo mkubwa.Hasa wakiwatumia viuri hawa jamaa waliotoka Brazil.
michuzi, wapi comments zangu za popobawa?? umenibania sio, au nimeandika pumba nini?? anyway, uamuzi wako niwa mwisho, kazi njema
ReplyDelete