ukumbi wa dayamondi jubilei uko kwenye ukarabati mkubwa na kazi hiyo ikiisha inasemekana utakuwa na asavali kuliko ilivyokuwa huko nyumani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 01, 2007

    Hakuna Kitu uzushi tu. Huu ukumbi umeshafanyiwa matengenezo sana nakumbuka kwenye miaka ya tisini wafanya hivyo hivyo wakasema ukifunguliwa utakuwa babu kubwa afrika yote...ahh wapi kuja ni vile vile tu. Labda sas hivi ukiniambia makampuni ya nje yamechukua hapo tunaweza ona tofauti

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 01, 2007

    kwa wanaopenda harusi za kifahari hapa ndo pahala pake.maana kuukodi tu milioni mbili hujaweka chakula na vinywaji.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 01, 2007

    Wewe Tarehe Friday, June 01, 2007 5:18:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous
    Tshs milioni 2 ni aprox $2000 hiyo sio ghali kabisa. Ni fair price. Kama mtu hana hizo kwanini atake kufanya harusi ya kifahari? Hapo ndio mambo ya michango sasa. Tukiambiwa tuchangie elimu tunakuwa wagumu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 02, 2007

    Nashukuru Mr. Michuzi, nilitoa ombi jana hapo chini la kuonyeshwa ukarabati unaoendelea hapo DJ. Huu ukumbi una historia ndefu, mikutano mingi tu ya kihistoria (ikiwemo Nyerere kutangaza vita na Idi Amini) imefanyika hapo.

    Sijui hasa plani ya muda mrefu ni nini hapo, kwa sababu kujenga ukumbi wa kisasa kwa kiasi inaweza kupoteza kumbukumbu hiyo.....labda wataishia kujenga pembeni kama walivyofanya uwanja wa taifa, lakini sikumbuki kama pembeni kuna nafasi.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 02, 2007

    Anko michuzi mie kwakweli sihelewi kabisa eti bongo tunasema ni sisi tunaukumbi... huu sio ukumbi jamani. ni haibu kubwa sana kwa nji... eti kumbi basi DJ.. hii ni godauni.. inatofauti gani na godauni labda kwasababu inamapanga boy. Tanzania tubadilike na tujue kweli tunahitaji kuwa na kumbi moja la maana la kimataifa. kama mkapa ameweza kutoa zawadi la wanja basi kikwete atupe angalau zawadi ya kumbi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...