mzee kawawa alikuwepo kufariji wafiwa. shoto ni mzee chifupa na kulia ni mzee hemed mkali, mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar


watu wa dini mbalimbali walifika kuomboleza





mpakanjia na watoto katikati ya waombolezaji





magazeti yote yalikuwa amina...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2007

    Poleni sana watu wa Magazeti kwa kupoteza chanzo chenu kikubwa cha habari.

    Shigongo, sasa una kibarua kipya cha kumjenga Amina mwingine ili magazeti yako yauze.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 28, 2007

    Maskini Rahman! Rahman ndiye mtoto pekee wa Amina ni huyo mwenye t-shirt ya njano amekaa kulia mwa baba yake. Jamii tumuenzi Amina Chifupa kwa kumsomeshea mtoto wake na kuhakikisha anaepukika na madawa ya kulevya. R.I.P AMINA.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 28, 2007

    Jamani yaani mtoto anasikitisha huyo. sijui hata hapo alipo anafikiria nini. Mungu akubariki na akuonyeshe njia njema ya kupita na siku moja kama ni mapenzi ya Mungu utakutana na mama yako Mpenzi. I feel so bad for him.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 28, 2007

    WE ANON 05.08 SASA UNAANZA KUBWABWAJA.. KAMA HUNA CHA KUANDIKA TOA POLE ZAKO THEN ISHIA.. SIO TU KUANDIKA PUMBA ZAKO HAPA. WOTE WALIOKUFA NA KUWACHA WATOTO WAO WADOGO NANI ANAWASOMESHEA...!! UNAFIKI TUU!! GET A LIFE!!

    JAMANI MWENZETU KESHATUTANGULIA NI KUMUOMBEA TUU ALALE SALAMA. KAFAJE, WATU HAWANA VYANZO VYA HABARI, OOH BLA BLA BLA HAZIMRUDISHI NG'OOOO!! NA KAMA NI MKONO WA MTU.. WAZUNGU WANASEMA WHAT GOES AROUND COMES AROUND..SO THEY SHOULD GET READY TOO!!!

    UNAFIKI TUACHE OOH TULIKUPENDA SANA OOOH BLA BLA NI UNAFIKI TUU. WAKATI MLIKUWA MKIMCHAMBUA NA KUMKANDIA KAMA NINI LEO MAPENZI YAMETOKA WAPI AU NDO MTU AKIFA BASI SIFA ZOOTE HATA KAMA ZA UONGO.

    MIMI KAMA BINADAMU NAMUOMBEA ALALE SALAMA HUKO ALIPO NA MUNGU AWASAIDIE FAMILIA YAKE KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU SANA. NA POLE NYINGI SANA KWA MWANAE.. KWANI HATAKAA AONJE PENZI LA MAMA. LAKINI GOD WILL GET HIM THROUGH! AMEN!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 29, 2007

    We anony wa 11:35 epuka lugha za kuudhi watu. kuwa mwadilifu. Tumia maneno ya hekima na busara.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 29, 2007

    anony wa 11:35:00pm toa pumba zako.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 29, 2007

    abony 11:35 nenda kamuone therapisty something is wrong with you. Unakua kama umechanganyikiwa vile. Utakatakka na kubisha lakini ..believe or not you can learn so many thing about a person just by reading. Kwanza kutumia upper cases ni shouting sijui unamshoutia nani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...