Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2007

    yeah hii ni kama kuruka mkojo na kukanyaga vinyasi

    ni watu wangapi wanakufa na heart attack na diabetics complication sasa hivi? watu wanajilia tu ili wanenepe kumbe wanakaribisha magonjwa mengine.

    tusipo ondoa hii stigma itakua shida tu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2007

    we jidanganye tu na hiyo mimatako yako,ukimwi una mahesabu kibao ya kummaliza mtu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2007

    Ukienda bongo ukimwona mtu amenenepa ...ukimwambia ehe umenenepa unamwona anafurahi kweli nakusema asante...kumbe nchi zingine ukimwambia mtu amenenepa ni kama umemtukana vile.

    Inabidi na matangazo ya kuwaelimisha watu wajue uzito wao na uwe kama unavyotakiwa na Body mass index. Na madhadha ya kuwa overweight.

    Bongo hayo mavyakula yanayoingizwa kutoka nchi za nje sasa hivi basi watu watakula tu na life style yetu ndio hivyo mafuta yatahamia kwenye matumbo.

    Manake siku hizi vitambi sio vya bia tena ni vya peanut butter na mayonnaise. Halafu hizo ni preservatives wakati tuna maziwa, mayai fresh na karanga natural tungeweza kutengeneza organic za kwetu. lakini wabongo wanapenda vya nje ambavyo hatujui vimekuwa tinted na nini?.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...