Michuzi,

Naomba utundike hili kwenye blogu yako.

Naona umeuliza swali kuhusu kitu gani kifanyike kuhusu hizo P.O. Box za Bongo. Eniwei, changamoto yangu kwako na waDangayika wenzangu ni hii - fanyeni utafiti au fuatilia maendeleo ya sekta husika kabla ya kuuliza swali la jumla jumla.
Kautafiti kadogo tu kangekufahamisha kwamba kuna maendeleo katika sekta ya Posta yanayofanywa na Tanzania Commissions Regulatory Authority - TCRA. Kwa kifupi kuna mpango wa kuleta Postal Codes. Kwa wale mlio bahatika kutembelea sehemu mbalimbali, mtakuwa mnaelewa maana ya Postal au Zip Codes.

Kwa kuwa sipendi uzushi, naomba waDanyika wasome wenyewe ripoti ya TCRA hapa:
http://www.crasa.org/docs/reports/10AGM-TanzaniaCountryReport.pdf
-- Metty

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mitty, you know Posta is corrupted organization on earth. personal experience, nilimtumia bibie mazaga zaga ya sikukuu, kufika posta walidai lazima bibie alipe tax. My question was, what kind of Tax does posta charge on gifts items?

    So please, take your lies somewhere else, not here please.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...