Home
Unlabelled
msiba dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
poleni sana,mama+baba brenda na wafiwa wote.mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.Jirani CVU
ReplyDeleteHuyo Charles Kizigha alisoma Mawenza Secondary? 1986 - 1989? Manake kuna Charles Kizigha nilisoma naye Mawenzi. Pole sana kwa kuondkewa na mzazi wako.
ReplyDeletePOLENI KWA MSIBA
ReplyDeletePoleni sana Charles na wanafamilia wote kwa msiba huo mkubwa.Mwenyezi Mungu amempenda zaidi.Hatuna la kufanya isipokuwa kumshukuru Mungu na kuzidi kusali tukimuenzi azidi kutuongezea faraja na ujasiri wa kukabiliana na majaribu yaliyo tuzunguka.Pokea salaam za rambirambi kutoka kwetu.Tuko pamoja nanyi katika kipindi hichi kigumu cha majonzi makubwa.Sisi sote tuko njiani.Mungu awabariki!
ReplyDeleteWewe ANONY #2 kweli zumbukuku ile mbaya...Umeshaambiwa kuwa huyo Charles Kizigha ni mwandishi mkongwe, halafu unamouna kabisa kwenye picha hapo juu kuwa ni mtu wa makamo...Sasa inawezekanaje huwezi kumtambua na inawezekanaje mtu wa umri wake akawa amesoma sekondari mwaka 86-89?
ReplyDeleteUMESHIKILIA MKIA WA MBWA, HALAFU UNAULIZA ANANYEA WAPI?
poleni sana wanafamilia kwa msiba uliowakuta. ni kazi ya mola hivyo hatuna jinsi, kilichobaki ni kumuombea rehema huko aendapo
ReplyDeletemwandishi mkongwe hawezi kuwa amesoma 1986-1989~
ReplyDeleteKaka Charles na familia, poleni sana.
ReplyDeleteMungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. May she rest in eternal peace.
Charles Kizigha mwenyewe ndio huyo aliye beba msalaba sasa tueleze kama kweli ulisoma naye mawenzi sekondari miaka ya 86 -89
ReplyDeleteMUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI..
ReplyDeleteHE WAS HERE (MALAYSIA) WHEN HE GOT THAT NEWS...
POLE SANA MR KIZIGHA, POLE ANGELA, POLE BRENDA
we michuzi unamaanisha nini unapoandika "pichani hapo juu" ?? Vp inamaana marehemu ni huyu bwana alibeba msalaba???? Naona machungu ya kufiwa yanakuchanganya na kushindwa kufikiri vizuri.
ReplyDeletePoleni kwa msiba
Mdau, Jeremani
Pole sana George (Charles), Diana, Lilian na wana familia wote. Rest in Peace Mama mpendwa.
ReplyDeletePoleni sana kwa msiba huu mkubwa ndugu zangu wote upande wa Kizigha na ukoo wa Mziray/Mchomvu. Mama Kizigha kipenzi changu. Tutaku-miss sana nyumbani pale Majengo.
ReplyDelete(Ole wetu sisi mierenzi, kwa maana msonobari umeanguka)
Poleni zaidi Mzee Kizigha, Kaka George (Charles), Dada Rosella, Diana, Lillian, Sheddy, Pepe, Dotto na Baby (Catherine). Bwana awafariji katika wakati huu mgumu.
Bwana ametoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe.
Sisi Watanzania mbona tunapenda kusema hivyo.Hivi maana ya comma na fullstop huwa ni nini?Michuzi katumia hizo comma na fullstop kwa ajili ya kutujulisha wapi sentensi inaishia.
ReplyDeleteWAFIWA POLENI SANA.
Pole sana kaka Kizigha na wafiwa wote.
ReplyDeletePOle kwa wafiwa,Tumshukuru Mungu.Na nyie watoa hoja mchague ya kusema kulingana na topic inayozungumziwa.Ustaarabu jamani!! huo ni MSIBA.
ReplyDeleteNashukuru kwa kunielewesha, sikujua kama aliyeshika msalaba ndiye Charles mwenyewe. Bila shaka ni majina tu yamefanana na Charles Kizigha aliyesoma Mawenzi Secondary na si huyu mzee. POLE KWA WALIOKERWA NA SWALI LANGU.
ReplyDeletemwenyezi mungu awe nanyi wakatii huu mgumu. mama yetu alikua mkarimu kwa wote sie mungu amuweke mahali pema peponi, nanyie watu mnaopenda kubishana huyu alisoma mawenzi AU WAPI NAONA HIYO TABIA ACHENI MUWE MUNAANGALIA SEHEMU YA KUONGELEA.
ReplyDelete