leo wakati napaa kwenda nanihii kwa semina elekezi nimebahatika kukuta madege yote ya atc yakiwa yamepaki uwanja wa julius nyerere. kunradhi kioo cha dirisha nililoketi hakikuwa safi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 19, 2008

    Michzi mbona unataka kutugombanisha na hao wanaojua ndege wamezipaki kwasababu hazina matairi
    Akili ni nywele na kila mtu ana zake

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 19, 2008

    OUR AVIATION INDUSTRY HAS STILL A LONG WAY TO GO

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 19, 2008

    Michuzi hivyo ni videge na sio madege.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 19, 2008

    we michuzi mbona mkorofi,eti unajifanya mzalendo wa damu..eti mindege yote..duuuh ,manake aziesabiki hata kiganja kimoja cha mkono..wacha kashifa mpwa.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 19, 2008

    Michuzii acha mambo hizo ndugu yangu kwani kuna ndege hapo???Hii ni Airline inayoongoza kwa cancelletion duniani yaani kusafiri ni kama vile bahati nasibu wakati mwingine huwa tunahofia hata kuaga kuwa tunasafiri maana hakuna uhakika wa safari.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 19, 2008

    Eti wanasema ndege hizo zote zipo grounded - hizo Dash kwa sababu zinahitaji daily maintenance na mtaalamu yupo mmoja tu tanzania, hajalipwa mafao yake kwa hiyo kagoma au majimovuzisha somewhere else nchi jirani! Hilo dege la Airbus eti hakuna pilot aliyesomea jinsi ya kulirusha! Can you believe that crap??

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 19, 2008

    Du!:

    Wakati Marekani ilipopigwa Septemba 11, 2001, ilibidi katika moja ya hatua ni kuhakikisha ndege zaidi ya elfu nne (4000+, nadhani ilikuwa elfu nne mia tano na kitu..)zilizokuwa katika anga ya Marekani zinatua kwani walikuwa hawana uhakika ni ndege ngapi zingine zimetekwa.
    [Source National Georgraphic, Sept 11 Documentary]
    Ina maana wakati wa shambulio, idadi hiyo ya ndege zilikuwa angani.

    Si vema kujilinganisha na Marekani, lakini ndege tatu (3)kwa ATC?? tena nadhani hiyo kubwa ni ya kukodi.. ni aibu. ATC wanashindwa na Precision Air, Jamani.

    Bora zingekuwa kumi (10) angalau tungejivunia..

    Du!

    Mdau, UK

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 20, 2008

    hiyo moja kama ya my next door neighbor.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 20, 2008

    Nyie mnaokandia hivi mnazania hizo ndege mnazozisema ni za Marekani tu? Ni za watu binafsi na wafanyabiashara na makampuni kama Precision. AA, United Airways, Delta zote ni za makampuni ya wafanyabiashara...mosty of them cooperation...hivyo hata raia kama wewe unakua na share humo.... Sasa sijui mnawalaumu hawa nini?

    Tatizo letu kila kitu tufanyiwe na serikali. Wekezeni za kwenu basi zinatua angani 4000 pia kwa wakati mmoja. Kama hamuwekezi yanini kukandia. Mnaoona ni chache sana basi leteni zenu nyumbani kwani mmekataliwa? Hizi hata hao ATC wamejitahidi kuweka ndege zao...ati Marekani, marekani ....Marekani Mungu wenu????????

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 20, 2008

    lol hadi aibu watu kama hawajui biashara ni bora kuacha kuliko kutaka makuu,wanataka kushindana na precision hawa.kwanza ndege zao ka daladala pili huduma za ndani sio nzuri ila mmmh wacha tuone mwisho wao polepole ya kobe yaweza kumfikisha mbali japo kwa mda mrefu.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 20, 2008

    HIYO NDIYO SHIDA YA TIKITI YA COMP. NA KUPEWA KITI CHA DIRISHANI KISHA KUAMBIWA UPIGE PICHA NDEGE ZAO WALIZOZIPANGA RASMI ILI UWAPAMBE KWENYE BLOG YAKO. HII NDEGE MOJA NA VIDAGAA LEO IWEJE MADEGE! SIJUI TULE TWA ETHIOPIA SI UTATUPONDA LICHA YA KUWA HATUWEZI KUWAFIKIA MILELE PAMOJA NA SHIDA ZAO NA AMANI NA UTULIVU WETU. kama masharti yenyewe ni hayo siku nyingine kataa tikiti ya comp. iliutimize wajibu wako wa uandishi.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 20, 2008

    We anon wa 3:24 acha woga na kujifanya unapenda vya nyumbani. Mdau hapo juu katolea mfano tu kuonyesha gap lililopo, wala hajasema kama hizo ndege ni serikali ya Marekani. Acha kutetea uozo wa ATC. We kwa akili yako unaona sawa serikali kushindwa kuwa na kampuni ya ndege inayoeleweka? Au na wewe ni kati ya mafisadi wanaokula pesa za serikali? Kama unatoa hoja toa hoja kwa point, sema ATC iko katika hali ile kwa sababu 1, 2, 3.. sio kutetea uchovu wa ATC. Na kuhusu kampuni binafsi, ushajibiwa.. hiyo Precision ina ndege nyingi kuliko ATC, haya, tetea sasa

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 20, 2008

    BROTHER MICHU POLE SANA KAMAHIYO NDEGE ULIYOPANDA DILISHA LILIKUA NA VUMBI NAMNA HIYO VP,HALI YA UMO NDANI KWA UJUMLA SI ILIKUWA BALAADUNIANI?

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 22, 2008

    wa 3:24 na 1:57 we vipi weweeee???acha ushamba,ndege za bongo zimewapeleka wapi,mpaka leo safari zinaishia zanzibar...TOA FACTS na SOURCES hapa,sio unatoa poitns hewa!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...