Wadau wenzangu ni imani yangu kuwa mtakubaliana nami kuwa asilimia kubwa ya wakazi wa mijini tulitokea vijijini tena kwenye makazi ya kawaida kabisa ila wengi tunajisahau hata hatukumbuki tulikotoka mimi nimeamua kuwafahamisha wadau wenzangu mahali nilipozaliwa hukoooo...Thuji milima ya upare ;Karibuni sana .Kuna umeme,mitandao yasimu,maji safi ya bomba bila kusahau makande hata mtandao wa google unatambua kijiji chetu andika neno SUJI KISHA SEARCH
Mdau baba Jordan

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2008

    kweli hapo ni suji nadhani ilikua jumamosi watu wametoka kanisani manake hapo kijiji kizima ni wasabato. Mimi nilisoma hapo kipindi cha nyuma kidogo. kweli ni pazuri na hali ya hewa ni baridi sana. nimekumbuka mbali sana j'mos tukiwa kanisani wanafunzi wote.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 20, 2008

    Kweli upare kunafanana, hapa pako kama Usangi ngujini. Picha bomba sana imenikumbusha mbali

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 20, 2008

    From Wikipedia, the free encyclopedia

    Suji

    Coordinates: 4°22′S 37°52′E / -4.367, 37.867
    Country Tanzania
    Region Kilimanjaro
    District Same
    Population (2002)
    - Total 8,072
    Time zone EAT (UTC+3)
    Suji is a small village in the Pare Mountains, in the Kilimanjaro region of north-eastern Tanzania. According to the 2002 census, the village has a population of around 8,072 [1] (Male: 3,974, Female: 4,098). The majority of the villagers are of the Pare tribe (legend holds that they moved up the mountains as a security measure in a similar way other villages built forts. Their main protagonists were Maasai warriors who they call 'Kwavi' and Chagga). The village is situated approximately 20km from Makanya, a town on the main Dar es Salaam - Moshi road. In terms of religion, the majority of the residents are Seventh Day Adventists.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 21, 2008

    Aliyeiweka picha hii ni lazima ni ndugu yangu....tuwasiliane tafadhali... nigondia aha:mkwanjamrefu@yahoo.com.

    Issa, tafadhali wakilisha hii nikutane na ndugu yangu.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 21, 2008

    mazingira mazuri sana, nafurahi kuona bado kuna watu wanathamini nyumbani. mdau boston

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 21, 2008

    anony wapili..I wanted to say the same thing. mimi mpare wa usangi..and nilipoona hio picha..nilifikiri ni usangi!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 21, 2008

    Very NICE. yani hapo hata tuliokulia mijini inatukumbusha tukienda kusalimia Bibi na Babu kijijini.Mazingira yanavutia.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 21, 2008

    Kilichonifurahisha ktk picha hii ni usafi wa hali ya juu sana tofauti na miji yetu!!!

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 21, 2008

    NI KUZURI SANA KUNAPENDEZA, UMETUAMBIA KUNA UMEME, SASA HAO WALIOKAA JUANI WANACHAJI NINI? NAJUA KUNA BARIDI.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 21, 2008

    Mdau Issa,

    naomba uwaoneshe wasomaji wako hii picha nzuri ya Suji.

    http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/1/15/Sujisdachurch.JPG

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 21, 2008

    Nami nafurahi kwamba angalau baadhi yetu tunathami maeneo tuliokulia kama sio wewe basi kwa namna nyingine ndugu zao. Mimi naamini kwamba kama watz tungekuwa wote kwa pamoja tungekumbuka tulikotoka kwa namna fulani umasikini wetu ungepungua. Nasema hivi kwa sababu, kwa tabia ya mwanadamu aliyeonja shida anapofanikiwa anakuwa anasahau alikotoka ambako lilikuwa ni jukumu lake kuleta maendeleo ya mahali pale. Je ni wangapi kati yenu mlioko huko Ugaibuni ungependa kupaendeleza Tz mlikotoka? Wengine hata mawazo ya kurudi bongo hawana.

    Mimi
    Sipendi

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 21, 2008

    Sipendi kwani kukaa kijijini ni shida? Sijui ni kwanini unasema watu walioonja shida wanasahau walikotoka. Hebu ona hao watu hapo wewe unaona wana shida gani? Kwa vile wako huko Suji? That is not right. Utamaduni wetu sio wa magorofa na ma skyscaper...Utamaduni wetu ni wa mud houses.

    Sasa kama umeshatoka na kuishi kwenye majumba ya wadhungu sio kuwa umeepuka umasikini bali umeebadilisha utamaduni wako.

    Eskimos wanavyoishi mpaka leo utawaita masikini?

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 22, 2008

    Basi basi basi, MSINYONGANE tena.Haya wee kaa chini, wee kajiandae uende zako utachelewa skejo,na wee anza kutembea taratibu mpaka ufike kariakoo kwa mguu unapiga domo tu hapo, na wee kafunue pale nimekuwekea mihogo yako,ukimaliza ufue shati, Mhhhm Mikelele tu wote kwenu BONGO.PICHA NZURI.

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 22, 2008

    kwenu wapi wakati ni kwa mjumbe wenu wa nyumba ten ten ambapo mnakutana kusikiliza taarifa ya habari.

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 22, 2008

    Chedi hira,Habari Ja Ndima? Urewedi? Kama thio wangenji,ningekutora kibora kimwe ukagwire kwe mitura!Michuudh thina mpango naye,thaa dhote yeye ana thmile tu kwenye picha!This iidh very therious!Michuuz The Konooooz mbavu hana!Nashindwa nyanyachungu(ngogwe)nitakutumiaje,mpe Michuuudh anuani yako,pleaadh!

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 22, 2008

    haaaah"! hapo si kwakina semkaye kilozo na yeye si huyo na mother ake enzi za utoto wako michu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...