Fani ya urembo au ulimbwende nchini Tanzania inazidi kukua na kujipatia umaarufu siku baada ya siku.Lakini ili fani yeyote ikue au iendelee, ni lazima pawepo mtu au watu ambao wanaamini kwamba inawezekana na pia kuna sababu za kutosha za kuwepo kwa fani husika.


Mtu au watu hao lazima pia wawe tayari kujitolea,kwa nguvu na mali, kuhakikisha ndoto zinatimia, malengo yanafikiwa na mafanikio yanaonekana. Miongoni mwa watu hao ni Maria Tsehai Sarungi (pichani), Mkurugenzi wa kampuni ya Compass Communications ya jijini Dar-es-salaam ambao ndio waandaaji wa Miss Universe,Miss Earth, Miss International na Miss Tourism kwa upande wa Tanzania.

Nenda www.bongocelebrity.com upate zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 31, 2008

    namzimia maria toka alivyokua zanaki secondary..shes intelligent sana,katulia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 31, 2008

    Go girl, keep it the good job.
    I also read your interview and am very impressed with your work and passion. U'r one of a kind, I truly admire you nd your work.
    Ni mimi,
    Your former classmate; Zanaki High School.

    ReplyDelete
  3. Maria ni dada mkuu wetu tokea O/bay primary school. Go girl!!!!

    ReplyDelete
  4. Jamani huyu si ndiye Maria Sarungi aliyesoma Lake Secondary -Mwanza alikuwa anakaa Ghana .....alikuwa na dada yake pia anasoma Lake walikuwa watoto bomba sana Lake... kama ni yeye keep it up...
    Mdau wa Karagwe...

    ReplyDelete
  5. Maria unawaka hivi? Sitaji jina langu ila unakumbuka mtu uliyemwambia kuwa alipoondoka tu, mambo yamechanganya Bongo, pale MovenPick?

    ReplyDelete
  6. Vipi, ameshaolewa? Kama bado je ninaweza kuwasiliana naye vipi kwa majadiliano zaidi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...